AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Suarez mwenye umri wa miaka 27 alisafiri kuelekea katika sherehe hizo baada ya wao kushindwa na timu ya Chelsea
Akizungumuza katika sherehe hiyo Suarez alisema kuwa.
Suarez kufikia sasa amefunga mabao 30 na ndiye anayeongoza matumaini Liverpool kukatisha ukame wa miaka 24 tangu watwae taji la ligi kuu ya Uingereza.
Suarez atakumbukwa zaidi kwa kisa kilichogonga vichwa vya habari duniani baada ya kumngata mchezaji wa Chelsea Branislav Ivanovic.
Suarez alipigwa marufuku ya mechi Kumi baada ya kupatikana na hatia .
Wengine walioteuliwa ni Eden Hazzard wa Chelsea aliyetajwa kama mchezaji mchanga wa mwaka huu.
Daniel Sturridge na naodha wa Liverpool Steven Gerrard walijiunga na Suarez kutokana ushirikiano wao iliyopelekea Liverpool kutajwa kama klabu bora ya mwaka huu.
Waliokuwemo ni pamoja na Kipa wa Chelsea Peter Czech na mlinzi Gary Cahil.
Hata hivyo msururu huo haingekamilika pasipo kuwataja Yaya Toure na Vincent Kompany wote wa Manchester City.
Luke Shaw na Adam Lallan wa Southampton pia wakitajwa katika orodha hiyo naye Seamus Coleman wa Everton akifunga ukurasa huo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK