OLE SENDEKA AAIBIKA KWA JITIHADA ZA KUZUIA HOJA ZA LUPUMBA BUNGENI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzee wa Simanjiro, Ole Sendeka ameipata ya moto baada ya kukutana na Zomea zomea ya ajabu pale alipotaka kufanya jitihada za kuzuia hoja kali za Prof Lipumba alizokuwa anazijenga alipokuwa akitolea ufafanuzi wa mapendekezo ya wajumbe wachache wa kamati namba kumi. Hoja za Lipumba zilikuwa zinaelekea kuwavua nguo wakubwa kwa jinsi alivyochambua mapato na matumizi ya serikali na ubadhirifu wa pesa hzo mpaka kuwaletea hofu ya kuzmudu serikali 3. Hapo Ole Sendeka akaona aokoe jahazi kwa kufifiza au kupunguza hoja za Lipumba kwa kuomba utaratibu wa kijinga na ndipo alipokutana na zomeazomea ya hali ya juu iliyotulizwa kwa nguvu kubwa ya mwenyekiti Sitta.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bora alipozomewa, ccm acheni watu waliosoma wawadadafulie fedha mnazozifuja bila faida yoyote ndani ya nchii kwa kukosa elimu, inzi wa kijani nyie ccm

    ReplyDelete
  2. Ni vema wamemzomea mana wanapinga serali tatu kwa mgongo wa kusema gharama kubwa ccm lazima wakubali kubadilika ktk hili

    ReplyDelete
  3. Na hata wakilazimisha kupindisha maoni ya wananchi bado ktk kura ya maoni tutawaabisha na kuyakataa kwa nguvu zote , kuzomewa kwa sendeka ni vizuri sana kwa sababu wameacha kuzingatia matakwa ya wananchi bali wanafuata maoni ya chama kama suala la serali tatu lipo tu hata kama nyinyi viongozi hamlitaki lakini hayo ndio maoni ya wananchi mnaowaongoza

    ReplyDelete
  4. Nchi ina maziwa na mito kila sehemu pesa wanazoiba zingetosha kuweka mitambo ya maji nchi nzima

    ReplyDelete
  5. Nyang'au sendeka mwehu

    ReplyDelete
  6. Sasa mtu kama huyu sendeka kweli anauchungu na nchi kwel?profesa anajaribu kuelimisha umma wa watanzania jinsi mafisadi wanavyo tafuna hii nchi yeye kwa makusudi anajaribu kumzubaisha ili apoteze maada kweli huyu nae ni mwenzetu kweli?utaifa ukowap sasa!hii nchi inaitaji maombezi makubwa sana wakristo na waislamu tujitahidin kuiombea nchi yetu maana viongoz hawana utaifa ni wao na familia zao!ulaaniwe wewe fisadi sendeka.

    ReplyDelete
  7. Kazi kweli kweli jamanii

    ReplyDelete
  8. LEO NDO NIMEAMINI KUWA MBUNGE MMOJA WA UPINZANI NI SAWA NA WABUNGE KUMU NA TANO WA CCM.HONGERA WACHACHE KUWA NA MTAZAMO CHANYA.

    ReplyDelete
  9. Tumechoka wezi kweli hao

    ReplyDelete
  10. Hivi serikali tatu haitakuwa na mafisadi, tofautisha kati ya muundo huo ni wiz ambao unapaswa kupigwa vita sio muundo

    ReplyDelete
  11. Tukiweka serkali3 tunawajengea mazingira ya kuiba zaidi nawanainchi tutakua hoi zaidi

    ReplyDelete
  12. Kundu lako fyuuuuuuuuuuuuh

    ReplyDelete

Top Post Ad