AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna Shosti Mmoja Mtaani Kwetu Ambae Ni Mzuri Na Ukimuona Lazima Utampenda Kwakua Kajaliwa, Basi Nikajitia Kidume Nikamfata Na Kumtongoza,chakushangaza Ilikua Rahisi Sana Kumpata Na Hakunisumbua Kinyume Na Matarajio Yangu, Nikaona Nimepata Visiku Vichache Vikakatika Tukapeana Ahadi Aje Kwangu Napoishi, Sasa Asubuhi Yake Kuna Rafiki Yangu Alikuja Kwangu Tukawa Tunapiga Stori. Rafiki Yangu Huyu Ni Daktari, Katika Kupiga Stori Za Hapa Na Pale Akanieleza Kuhusu Huyo Binti Ambaye Ntakutana Nae Bila Yeye Kujua Kuwa Nipo Nae Na Nina Miadi Nae, Alinambia Uyo Binti Ana Ukimwi And Nikajitaid Kumpeleleza Amejuaje Hakunambia.. Kiukweli Nilihisi Nina Bahati Na Nikajicontrol Nisimuoneshe UTofauti,baada Ya Maongezi Akaondoka.
Ilipofika Jioni Mdada Akaja Napoishi Na Nikampokea Vizuri And Tukaishia Kupiga Stor Na Kuangalia Muvi Na Akaondoka...NIMEJIFUNZA KUTOKUPARAMIA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Msenge mkubwa. Story gani hii? Bwege wee!
ReplyDeleteMbona hueleweki?
ReplyDeleteUko timamu kweli wewe?!na nyinyi sio kila story mnaiweka humu kwa nini msifanye kama mnavyochambua msg zetu?maana huu ni utumbo.
ReplyDeletenyau ww inabidi utumie focus watu wakuelewe.
ReplyDeleteBichwa kweli wewe ndo utumbo gani huu unatuletea
ReplyDeleteMmmh!
ReplyDeletekumalamamako, mnaona mikundu expired munaishabikia, mutakufa!
ReplyDelete