RAFIKI YANGU KANIOKOA BILA KUJUA..NINGEPATA UKIMWI KWA PAPARA ZANGU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Imepita Wiki Chache Tangu Nilipokosakosa Kuukwaa Ule Ugonjwa Usiotibika Yaani UKIMWI Na Kwa Kuokoa Mda Ilikua Hivi;
Kuna Shosti Mmoja Mtaani Kwetu Ambae Ni Mzuri Na Ukimuona Lazima Utampenda Kwakua Kajaliwa, Basi Nikajitia Kidume Nikamfata Na Kumtongoza,chakushangaza Ilikua Rahisi Sana Kumpata Na Hakunisumbua Kinyume Na Matarajio Yangu, Nikaona Nimepata Visiku Vichache Vikakatika Tukapeana Ahadi Aje Kwangu Napoishi, Sasa Asubuhi Yake Kuna Rafiki Yangu Alikuja Kwangu Tukawa Tunapiga Stori. Rafiki Yangu Huyu Ni Daktari, Katika Kupiga Stori Za Hapa Na Pale Akanieleza Kuhusu Huyo Binti Ambaye Ntakutana Nae Bila Yeye Kujua Kuwa Nipo Nae Na Nina Miadi Nae, Alinambia Uyo Binti Ana Ukimwi And Nikajitaid Kumpeleleza Amejuaje Hakunambia.. Kiukweli Nilihisi Nina Bahati Na Nikajicontrol Nisimuoneshe UTofauti,baada Ya Maongezi Akaondoka.
Ilipofika Jioni Mdada Akaja Napoishi Na Nikampokea Vizuri And Tukaishia Kupiga Stor Na Kuangalia Muvi Na Akaondoka...NIMEJIFUNZA KUTOKUPARAMIA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Msenge mkubwa. Story gani hii? Bwege wee!

    ReplyDelete
  2. Mbona hueleweki?

    ReplyDelete
  3. Uko timamu kweli wewe?!na nyinyi sio kila story mnaiweka humu kwa nini msifanye kama mnavyochambua msg zetu?maana huu ni utumbo.

    ReplyDelete
  4. nyau ww inabidi utumie focus watu wakuelewe.

    ReplyDelete
  5. Bichwa kweli wewe ndo utumbo gani huu unatuletea

    ReplyDelete
  6. kumalamamako, mnaona mikundu expired munaishabikia, mutakufa!

    ReplyDelete

Top Post Ad