AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
LILE penzi la msanii wa filamu na mtangazaji, Lulu Mathias na mchezaji mpira wa zamani, Amani limesambaratika baada ya hivi karibuni mwanaume huyo kuondoka na kilicho chake huku akimwacha mwanadada huyo ndani ya nyumba peke yake.
Chanzo chetu makini kilisema kuwa, tukio hilo lilitokea hivi karibuni huko Majohe walipokuwa wakiishi wawili hao ambapo mwanaume huyo aliamua kuondoka na kurudi nyumbani kwao na kumuacha Aunty Lulu ndani ya nyumba hiyo waliyokuwa wamepanga.
Baada ya kuzipata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Aunty Lulu, akafunguka:
“Ukweli mimi na Amani tumeachana kwani kipigo kimenizidi kila kukicha isitoshe ndugu zake hawanipendi, nimebaki peke yangu kwenye nyumba tuliyokuwa tumepanga huku Majohe na yeye ameondoka na vitu vyake vyote, amerudi kwao.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyo nae linene kama michelin
ReplyDeletenatamani nikufahamu weeeeee nana kwani matusi inakuzidi miaka
ReplyDelete