Anti Lulu na Bwana Ake Mpya Wapigana Chini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Gladness Mallya
LILE penzi la msanii wa filamu na mtangazaji, Lulu Mathias na mchezaji mpira wa zamani, Amani limesambaratika baada ya hivi karibuni mwanaume huyo kuondoka na kilicho chake huku akimwacha mwanadada huyo ndani ya nyumba peke yake.

Chanzo chetu makini kilisema kuwa, tukio hilo lilitokea hivi karibuni huko Majohe walipokuwa wakiishi wawili hao ambapo mwanaume huyo aliamua kuondoka na kurudi nyumbani kwao na kumuacha Aunty Lulu ndani ya nyumba hiyo waliyokuwa wamepanga.

Baada ya kuzipata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Aunty Lulu, akafunguka:
“Ukweli mimi na Amani tumeachana kwani kipigo kimenizidi kila kukicha isitoshe ndugu zake hawanipendi, nimebaki peke yangu kwenye nyumba tuliyokuwa tumepanga huku Majohe na yeye ameondoka na vitu vyake vyote, amerudi kwao.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyo nae linene kama michelin

    ReplyDelete
  2. natamani nikufahamu weeeeee nana kwani matusi inakuzidi miaka

    ReplyDelete

Top Post Ad