AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka wa Nigeria na Cameroon baada ya wanajeshi wake wa ngazi za juu kushambuliwa na nyoka na kupoteza maisha.
Kumezuka hisia za kiimani kuwa Boko Haram wanaadhibiwa na mizimu ya watu waliowauwa kinyama
Jeshi la Nigeria limeshafanya juhudi za kuwaondoa msituni lakini imeshindikana na hadi sasa kundi hilo linawashikilia wasichana zaidi ya 260 na bado linaendelea kushambulia Nigeria kwa mabomu ya kutegwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wala sio uchawi ni maombi ikumbukwe wengine wameslimishwa bila ridhaa yao
ReplyDeleteNa bado!watajutia saba walichokifanya kwa maana ni Mungu anajibu maombi,maana dunia nzima inakemea jambo hili.
ReplyDeleteTenda miujiza Mungu wetu,na huko wanakokimbilia wakaone mamba sasa.
ReplyDeleteupuuuzi mtupu na pia bizo ni imani ya kiafrica na ujinga. basi kama hivyo maraisi woote wangeumwa na nyoka basi kama bushi, sadaam, na wengine wengi, nyoko kabisa
ReplyDelete