AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi wa Kano, aliyejitambulisha kwa jina la Magaji Majiya, mtoto huyo wa kiume alipata mashaka baada ya kuona gari fulani bovubovu likiwa limetelekezwa huku likiwa na mzigo mkubwa karibu na msikiti mmoja.
Na ndipo alipolichungulia kuona vitu kama mabomu na akatoa taarifa mapema.
“Bomu liliwalenga watu walioenda kuabudu katika msikiti huo na lilikuwa limewekwa kwenye gari aina ya Toyota Tercel.” Alisema Majiya.
Polisi walituma kikosi maalum cha kutegua mabomu ambacho kilifanikiwa kulitegua bomu hilo.
Mtu mmoja amekamatwa kutokana na tukio hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
safi sana dogo, ingekua hapa kwetu huyo dogo angeanza kukagua kutaka kujua hicho ni nini, natamani tungekua tunafundishwa shuleni aina za mabomu ili hata ukiliona uweze kulitambua,
ReplyDeletemimi na ukubwa wangu hata bomu sikijui zaidi ya kuona picha
Yaani police wetu walivyo na dharau wala wasinge wahi lingelipuka
ReplyDeleteGud boy
ReplyDeleteUyo mtoto ni HERO...hongera zake dogo
ReplyDeleteHongera jembe.
ReplyDelete