AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama unam-follow kwenye instagram @Shaa_tz basi utakuwa umesha like au kuona jinsi comment na like nyingi zinazopata picha hizi.
Sarah Kaisi amepost picha mbili akiwa kwenye boti...
Any Comment?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwa raha zake
ReplyDeleteNI ULIMBUKENI 2 HAKUNA LA MAANA HAPO..ZAID YA UJINGA NA KUMSAHAU MUNGU...ILA IPO CKU YA MALIPO YA MATENDO YETU
ReplyDeleteWewe bwege nn sasa ukitaka beach avae gauni... Ushamba tu
DeleteHiyo siku ikifika ndo utajua ushamba na ujanja kwa allah.
DeleteWe waache wajifanye wajanja,wanamuacha Mungu eti wao ni wajanja. Wangefikiria mbali wangejua y watu wanakufa na kama wanakufa wanaenda wapi. Nawaonea huruma kwan wajionao wajanja ktk dunia hii,ktk dunia ya pili watalia na kuomboleza.
DeleteKwendeni zenu huko hiyo dunia ya pili mnaijua nyie wanafk wakubwa.....
DeleteHamna lolote kauli za njaa tu hizo zinawasumbua hata nyinyi mngekuwa hivyo sidhani hata kama mngekumbuka muumba wenu acheni unafiki ni dhambi nyinyi ndio kusema watakatifu saana mpaka mumuhukumu mwenzenu?njaa mbaya hata vitabu vya dini vinasema umaskin ni dhambi sasa si unaona?hapo ukiitwa mchawi utakataa?
Deletemmm anaishi apendavyo xo msimdis
ReplyDeletejaman iyo ni beach wear
ReplyDeleteMmhhhhhhh
ReplyDeleteMmhhhhhhh
ReplyDeleteMmhhhhhhh
ReplyDeleteMsijifanye watakatifu kumbe wadhambi wakubwa na kuanza kujudge wenzenu unafaham ukaribu wake na Mungu au kwakuwa kavaa beach wear ndio mnamuona mkosaji..usihukumu pasipo kujua
ReplyDeletemavaz ya beach sis tuyaone ya kaz gan c awaonyeshe wanaume zake,wengne mnashadadia tu, kwendn zen
ReplyDeletewe ukiendaga chooni unaenda na jinsi???
ReplyDeleteHahaha! Hii nzuri sana!
Delete