“Hata kama ni Mwezi wa Ramadhani, Haki ya Tendo la Ndoa lazima Nipewe”….Mume wa Jack CHUZ

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mume  wa  mcheza  filamu  za  kibongo  Jack  Pantezel, Gadna  Dibibi  amesema  kuwa  mwezi  mtukufu  wa  Ramadhani  ni  haki  kwake  kufanya  jambo  lolote  kwa  mke  wake  kwani  wao  ni  wanandoa, hivyo  hawawezi  kujinyima  haki  yao  ya  msingi….

Dibibi  amesema  kuwa  wamekuwa  wakikutana  na  mkewe  na  kulimenya  tunda  tamu  nyakati  za  usiku  baada  ya  kufuturu  lakini  si  mchana  kama  wengine  wanavyofanya, kwani  endapo  watakuwa  wanafanya  mchana  ni  wazi  kwamba  watakuwa  wanamkosea  Mungu  na  mfungo  wao  utakuwa  hauna  maana…

Hilo  suala  kwetu  si  jambo la  kushtua  sana  kwa  sababu  tupo  kwenye  ndoa, ni  lazima  nipate  haki  yangu  ya  ndoa  kama  inavyotakiwa  lakini  si  kufanya  jambo  hilo  mchana, nitakuwa  nakosea  sana  ingawa  wapo  wanaofanya  hivyo  kimakosa,”alisema  Dibibi
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ivi ww admn ni mpuuzi au umekosa habari za kuweka. sasa sisi inatuhusu nini huu upuuzi

    ReplyDelete
  2. Kwa I yo? What's the point?

    ReplyDelete
  3. admin pamoja na mume wa jack wote wa pumbavuuuu zenu.

    ReplyDelete

Top Post Ad