Muigizaji wa The Vampire Diaries aliyemtumia rais Obama Barua yenye sumu afungwa jela miaka 18

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muigizaji wa kike maarufu, Shannon Guess Richardson, jana (July 18) amehukumiwa kifungwa cha miaka 18 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumtumia rais wa Marekani Barack Obama barua yenye sumu.

Muigizaji huyo alikamatwa June, 2013 baada ya kutuma barua hiyo yenye sumu ambayo ilielekezwa pia kwa Mayor wa New York Michael Bloomberg na mwanasheria anahusikana na udhibiti wa silaha.

Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi, barua hiyo ilikuwa imebeba sumu kali aina ya ricin inayotengezwa kutokana na mbegu za mimea.

Uchunguzi unaonesha kuwa aliagiza mbegu hizo kwa njia ya mtandao na akajifunza jinsi ya kuzigeuza kuwa sumu kisha kutekeleza nia yake.

Muigizaji huyo ambaye alijifungua akiwa mahabusu alijitetea mahakamani hapo na  kudai kuwa yeye sio mtu mbaya na hakuwa na nia ya kumuumiza mtu yoyote na kwamba vilivyoko kwenye barua hiyo sio vya kwake.

“I never intended for anybody to be hurt. I'm not a bad person. I don't have it in me to hurt anyone.”

Shannon mwenye umri wa miaka 36 ni mkazi wa Texas Marekani na ameigiza series maarufu za TV kama The Vimpire Diaries, The Blind Side na filamu ya The Walking Dead.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad