AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya kukiri kufanya hivyo, akisema kwa siku alipanga hadi wanaume watano,tena bila ya kutumia kinga akisema alidhamiria kuusambaza ugonjwa huo hatari alioambukizwa akiwa katika shughuli za ukahaba.
Alijigundua ameathirika mwaka 2006. Hata hivyo, katika maelezo yake ameelezea kuijutia dhamira yake hiyo, akisema alisambaza kutokana na hasira aliyokuwa nayo dhidi ya mwanamume aliyemwambukiza.
“Nilimchukia sana kila mwanamume, yeyote aliyejiita mwanamume…nilishindwa tu kuwawinda na kuwaua, lakini dhamira yangu ilikuwa kutumia silaha yoyote kuua wanaume kwa sababu mmoja wao aliniua… “Ndani mwangu nilijisemea kamwe sitawaambia hali ya afya yangu, yeyote anayekuja kwangu nammaliza. Kwa namna walivyoambukiza lazima niwaambukize’. Sijui nimewaambukiza wanaume wangapi, lakini ni maelfu,” alisema mwanamke huyo ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 32, alipotoa ushuhuda wake kanisani nchini Nigeria hivi karibuni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Atubu tu.sasa unapoamua kutumika bila zana utakosaje kuambukizwa?hata huyo aliemuambukiza alikubalije kulala nae kavu wakati ye anajiuza siangevaa condom maana yukokazini.sasa hasirazako zakujitakia uwaumize wengine hukutumwa ulalwe kavu.ungekuwa umeolewa ukaletewa ndani namumeo ungechukia kwahilosawa.ilaunautafuta tenakavu halafu unasema umewachukia wanaume.nimapokeo yako ajali kazini mtu humjui unalalaje nao hvhv?nanyie wanaume tulieni simnasikia mambo yakupelekea magonjwa wakezenu mkome.mijitu imeumizwa huko hasira inaumiza hatawasiohusika.unalala nae unaenda Ku supply kwa mkeo.
ReplyDeleteKwani kuvaa condom unawavalia makahaba. Tu?Mbona hata wasio makahaba wanasambaza?kuna mdada mmoja Mbongo movie Ana HIV wanaume wanavyommendea Kama inzi Wa chooni wangejua mmmmh,sisi yetu macho waache waukwae ukimwi mpaka washike adabu ya kukumbuka condom,yalivyokuwa majinga condom wanatumia siku ya kwanza,ya pili atumii ng'oooo.poleni
Deletetoo bad
ReplyDeleteDa mke akisema atulie analeta baba, baba akitulia analeta Mama, ee Mwenyezi Mungu simamia ndoa zetu
ReplyDeleteHiyo story ni ya zamani sana tena huyo binti alikuwa anatoa ushuhuda jinsi mungu alivyomtoa katika biashara ya ukahaba ibadani scoan kwa tb Joshua, kuputia Emanuel tv..uwe mbunifu wa kutafuta story mpya kila siku sio za zamani admin
ReplyDeleteKwani yeye ni Dakatari ama yeye ni mtoa Ushuhuda tu.
ReplyDeletempe ukwe kazi yake no kikopo tu na ameshaitoa yena akidai mschana wa kenya sasa mtanzania
ReplyDeleteNjia kuu muhimu..
ReplyDelete