AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Yohana Yongolo alisema ameridhishwa na ufafanuzi uliotolewa na Mwendesha mashitaka wa Serikali pamoja na Wakili wa mshitakiwa kuwa haki ya dhamana itolewe kwa kufuata masharti na kwamba hakuna uhalifu wowote utakaofanyika dhidi ya mshitakiwa huyo.
Hakimu Yongolo alitoa masharti ya dhamana ambayo yalimtaka Maige kutoondoka nje ya Dar es salaam bila ya ruhusa ya mahakama hiyo.
Pia alitoa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wa kuaminiwa kutoka taasisi inayotambulika hapa nchini ambapo mdhamini huyo anaweza kuwa mwajiriwa, mfanya biashara na mkulima.
Alisema wadhamini hao watatakiwa kusaini hati ya makubaliano kwa kila mmoja kulipa Sh milioni tatu.
Aliongeza kuwa kesi hiyo itasikilizwa Julai 22 mwaka huu.
Maige alidaiwa Januari mwaka jana hadi Juni mwaka huu, alimng’ata na kumchoma na pasi sehemu mbalimbali za mwili wa mfanyakazi waje wa ndani Yusta Kashinde (20) na kumsababishia maumivu mwilini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nikimkuta ktk angazangu ntamlamba vibao kazaa...
ReplyDeletekweli huyu anahitaji kichapo anajiona kashashinda hii kesi.
ReplyDeleteLabda ajifiche chamoto atakiona
ReplyDelete