AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Doreen anakuwa wa kwanza kuionyesha jamii juu ya taasisi ya mwanamuziki Rehema Chamila ‘Ray C’ ya Ray C Foundation kuanza kutimiza malengo yake baada ya kufanikisha mrembo huyo kuanza kutumia tiba ya dawa za Methadone na afya yake kuanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida…..
Ray C akizungumza na mwandishi wetu amesema kuwa anajisikia fahari kuona afya ya Doreen ikiimarika kwa haraka.
“Karudi katika hali yake ya kawaida baada ya kuanza tiba ya Methadone……Nafurah sana nikiona matuda ya Ray C Foundation, nimefurahi kumuona akiwa na afya njema,” amesema Ray C.
Ray C ni mwanamuziki wa kwanza nchini kujitoa mhanga kuwasaidia vijana waliojiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiviii. Hiyo foundation yako inadili na vijana maarufu tu au?? Nifafanulie coz miteja ipo kibao mtaa nnaokaa. Thn ukiongea nayo ipo tayari kuacha.. nataka nikukusanyie ka kumi hivi ambao ni sample tu, nikuletee userebuke nayo??
ReplyDeleteahahhahahhaha humu kuna watu mna vituko,we mmojawapo..u made my day
Delete