Riyama Ally Afunguka Asema Mchumba Anaye Lakini.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stori: Jamila Said
STAA aliyeitendea haki sinema ya Kigodoro, Riyama Ally amesema licha ya kuwa ana mchumba lakini hayupo tayari kuolewa kwa sasa.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Riyama alisema hahitaji kuolewa kwa sasa kutokana na kushuhudia ndoa nyingi za mastaa zikivunjika, hivyo anahitaji muda mwingi wa kufikiria juu ya mtu wa kuingia naye kwenye ndoa.

“Nitaolewa baada ya moyo wangu kuwa tayari kwani ndoa si jambo la kukurupuka, lazima uwe na mtu sahihi,” alisema Riyama.  
GPL
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. lakini ww ni muislam ss kama unatoka nae bila ndoahili nalo ni tatizo.je umejifikiria kuhusu hilo

    ReplyDelete
  2. malaya mkubwa wewe utazeeka hakuna atakae kuowa!
    lione vile msula kama unatumbuliwa jipu la kwapa!

    ReplyDelete
  3. Ila kuzaa na wanaume inje ya ndoa poa sana kwako eeeh AIBU

    ReplyDelete

Top Post Ad