Tid Amtukana Ray C 'Bitch Leave Me Alone' ni Baada ya Ray C Kumuomba Wazungumze

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harakati za Rehema Chalamila aka Ray C kukiokoa kizazi cha Tanzania katika janga la matumizi ya madawa ya kulevya si rahisi kama unavyodhani.

itihada za kutaka kumuokoa muimbaji mwenzie, TID anayedaiwa kuwa mtumiaji mzuri wa ‘ngada’ zimegonga mwamba na kujikuta akiambulia matusi mazito. Picha lilianza baada ya TID kuweka picha Instagram ya wimbo wake Asha uliorudiwa tena na Lamar katika mradi wake wa ‘Refix’ na kuandika: Listen to this mix….once again from @lamarfishcrab.


Ray C alicomment chini ya picha hiyo: Come let’s talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Pamoja na Ray C kutofafanuwa anataka waongee kuhusu jambo gani, TID alitafsiri ujumbe huo moja kwa moja kuwa Rehema anataka kumhubiria story zake za ‘Methadone’.

Bi*ch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you,ur mistake is yours nakuomba can u jus f*ck off,help ur boyfriend,I have never liked you,full stop,” aliandika TID.

Majibu ya TID yaliwashangaza followers wake wa Instagram waliojiuliza kipi hasa cha kumfanya ajibu kwa matusi kama hayo kwa ujumbe ambao pengine haukuwa na maana aliyoifikiria yeye.

Ray c anataka kuongea nae ili aache madawa nyie mnashabikia uozo @rayc1982 usife moyo my dada mkazanie ataacha tu anajishaua na matus ni maunga anayovua hayo huna lolote unataka kusaidia uache maunga yako eti back off ny*o back off my foot unajifanya mnyama mnyama gan anakula sembe bwege ww @tidmnyama,” aliandika mmoja.

Hv wew tid huo usela mavi utaacha lini wew teja utakufa na maunga hayo acha kujishauwa @rayc1982 anataka kuongea na wew unajishauwa ili uonekane wa maan hv hujui unajimaliza taratibu na kujishushia hadhi yako unadhani leo umepunguza mashabik wangapi huna akili kweli unga umekutenda pole sana rayc sio type yako wew tid kwa kipi ss rayc akushobokee mbn huna hy hadhi yakuwa na mrembo km rayc fyuuuuuu ……………ms**ge kweli wew na this time nahis wew unamfollow langa ny*ko weeeeeeeeetena ukome kumshobokea rayc tutakupanga teja hilooooooooooo nautaf**wa mk**d hapo stereo kutwa uko chini ya mwembe unabembea macho km chura mnyama gani wew kenge tu mnyama teja mxiiiiiiuuuuuu,” yalisomeka maoni mengine.

Oscar de la Hoya kaulizwa live kwenye ESPN kuhusu addiction na kakubali anapata matibabu sasa hivi. Nani asiejua tid ni teja?!? Whether public or privately. @tidmnyama needs #help. What can tid give @rayc1982 apart from pills to pop?! He is a fucking junk who needs #help. #Methadone will do. Alcohol. Drugs won’t make you Real! Real is God. Hardworking. Responsibilities. You have a kid tid who looks up to you.. Tyson. Eminem.. Our own @rayc1982 all had addition but they knew it was wrong and rectified their mistakes,” yalisomeka mengine.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. lkn mi naona haisaidi ikiwa unga bado unaendelea kuingizwa tz unategemea wataacha, but ukiachwa ingizwa tz bac hakuna mtu angevuta

    ReplyDelete
  2. ray ce nae apumzike kama mtu anataka atakuja mwenyewe ..yeye anamsumbua nini?ray c nae upig umemzidi hebu amalize methadone apungue ..aanze kukata kiuno..yeye alilala barabarani ndio maana tukajua ,amuwache yaimzidi tutamwona tu

    ReplyDelete
  3. waarabu wa pemba wajuana kwa vilemba

    ReplyDelete
  4. Point lesss a T.I.D a.k.a Kengeeeee acha madawa ya kulevya,,,,,sio issue hata kama yanaingizwa nchini watumiaji mkiacha kununua watakosa wateja,Ray C ur right baby talk to them,wakikutukana wapotezee mradi messege sent,,unene wako au wewe mbamba wako haujalishi ishi utakavyoo sio sisi tutakavyooo.

    ReplyDelete
  5. tide ni teja alafu mbona kimziki hana kitu

    ReplyDelete
    Replies
    1. HAYAWAHUSU.teja si teja ni yeye,,ray c anamtakia nini?huyu atakuwa na nyege atafute boyfriend amtombe.

      Delete

Top Post Ad