AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kila muda ukipita inatokea tetesi kwamba Chris Brown ana mawasiliano ya siri na Rihanna lakini bado hakukuwa na ushahidi kuthibitisha hilo.
Kitu kipya hivi sasa kinachotafsiriwa kwamba bado Chris ana mawazo na kumbukumbu juu ya uhusiano wake na Rihanna ni kutokana na picha ya rafiki wa Rihanna. Melissa Ford ambaye ni rafiki wa karibu wa Rihanna ali post picha ya Chris na Rihanna na kuandika kuwa ni hao ndio couples anaowapenda.
Baada ya hapo Chris Brown ali like hiyo picha na kuonyesha kwamba amefurahia hiyo post. Kutokana na ukaribu wa Rihanna na Melissa sio rahisi kwa Melisa ku post picha hiyo kama mambo bado ni mabaya kati ya Riri na Chris. Kama kuna lolote linaendelea kati ya Chris Brown na Rihanna lazima Melissa Ford awe anajua kwasababu wapo karibu sana.
Wachambuzi wanasema kwamba kuna kitu kinaendelea chini kwa chini kati ya Chris Brown na Rihanna na hivi karibuni kinaweza kuwekwa wazi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wema diamond and penny wako pia majuu
ReplyDeleteduh wewe umechemsha hizi habari...ni shabiki wa chris brown ndo ali post picha akaiphotoshop ikawa na riri pembeni ndo chris akai like wewe mtoa habari naanza kushikwa na kligeugeu na ukweli wa habari zako ni uzushi mtupu mxiiiiiew
ReplyDeleteKumbe vya uongo loooo!7
ReplyDelete