Msichana wa Kihindi Aachana na Familia Yake Tajiri na Kuhamia Kijijini kwa Kijana Mkenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tumezoea kuona kwenye filamu au tamthilia simulizi la msichana mrembo anaotoka katika familia ya kitajiri aliyechagua kuyaacha maisha ya raha na kuishi uswahili na kijana anaempenda.

Huko Kenya, kumeripotiwa tukio halisi lililovuta hisia za wengi na kuzungumzwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, ambapo msichana wa kihindi ameamua kuachana na familia yake tajiri na kuambatana na kijana wa Kenya aliyezama nae kwenye vilindi vya mahaba.

Msichana huyo wa kihidi anaifahamika kwa jina la Sarika Patel, ameolewa na kijana wa kabila la Bukusu, Timothy Khamala uamuzi ambao ni nadra kutokana na mila na desturi za kihindi na kilichoshangaza zaidi ni kuwa wawili hao wanaishi maisha duni kijijini.

 Kwa Sarika, maisha ya umasikini sio kikwazo cha kulipata penzi la kijana Timothy aliyenasa kwenye penzi lake.

Safari ya penzi la Sarika na Timothy ilianzia nyumbani kwao Sarika ambapo kijana Timothy alikuwa akifanya kazi na baadae kutimuliwa kwa kudhaniwa kuwa ana uhusiano na princess wa jengo hilo (Sirika) jambo ambalo lilikuwa kweli.

Ingawa wawili hao wamejitoa na kuendelea kuishi pamoja licha kukiri kuwa wanakabiriwa na changamoto kubwa ya kutengwa na jamii ya upande wa familia ya kwao Sarika kwa kuwa kitendo hicho sio sahihi hata kidogo kwa mujibu wa mila na desturi zao, ambapo watu wa jamii sawa ndio wanaooana.

Hata hivyo, Sarika ameelezea msimamo wake kuwa utofauti wa rangi na tamaduni au ufukara wake hauwezi kumtenga na mpenzi wake wa dhati Timothy.

Mapenzi sio pesa, mapenzi ni moyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

38 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hapo nakupa pongezi sarika.
    Wacha thimot akusuguwe vizuri.usikie rahaa

    ReplyDelete
  2. Anabeep umasikini! Ngoja abebe mimba, azae, hospitali kama mwananyamala, pampers hakuna, magonjwa kibao ya Afrika, lishe duni, watoto wafike 4, pa kulala shida, chakula shida, viatu hawana, funza miguu yote, wakiugua matibabu ni shida, maji salama hakuna, ndipo atasahau dushe la kiafrika arudi kwao mbio! tumpe muda!

    ReplyDelete
  3. Nami nami natapika hapa.... nashiriki na nguruwe, chakula kisichofaa yanipasa kurudi, nitarudi nakusema baba yangu nisamehe, nimekosa kwake Mungu na mbele zako baba!

    ReplyDelete
  4. naona comment za makahaba na za watu wasiomjua mungu na wasiouhua upendo wa kweli wanaodhani pesa iko juu ya upendo, sasa ninyi mnamsanifu mungu na malaika wake wanashangilia maana huo ndio upendo anaoutaka mungu

    ReplyDelete
  5. naona comment za makahaba na za watu wasiomjua mungu na wasiouhua upendo wa kweli wanaodhani pesa iko juu ya upendo, sasa ninyi mnamsanifu mungu na malaika wake wanashangilia maana huo ndio upendo anaoutaka mungu

    ReplyDelete
  6. Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoona mali ndo kila kitu.. smtm wanawaacha wapenz wao ambao c masikini ki hivyo kukimbilia mali kwa watu flan.. ubabaikaji matokeo yake wengi wao yanayowakuta wanajuuuuta.. japo huu muhindi kavuka mipaka kwenda kuishi maisha duni kufuru ila dada zangu onyeshen mapenz ya kweli kwa watu wenu.. mali zipo zinatafutwa shirikiana nae kuboresha maisha yenu na mpenz wako uckimbilie mwenye mali coz mwisho atakuchezea atakubwaga na atarud kwa mwanamke wake waliochumc wote!!

    ReplyDelete
  7. Naona wanaume makapuku mlivotokwa na povu kusoma points za makahaba! Lazima mtokwe kamasi, nani anataka kuishi maisha ya umasikini, hivi hizo pumbu zenu zitaleta chakula, mavazi, makazi bora, matibabu na shule kwa watoto? mnafikiri kulalwa ndiyo mapenzi ya kweli? Kwanza shida na dhiki zikizidi kwenye ndoa hamu ya kusex inapotea! mwanaume anashindwa kuperform sawasawa kitandani, mwanamke anaanza kumchoka mwanaume! Pesa na mapenzi zinaenda pamoja huwezi kuzitenganisha!

    ReplyDelete
  8. Mwanaume ni mwanaume! Hata awe masikini au tajiri tabia zenu zinafanana! Wapo wanawake wamewakubali makapuku wakaolewa nao, wakachuma mali pamoja, mwisho wa siku wakaambulia kunyanyaswa kuletewa mke wa pili na watoto wa michepuko! Msitubrain wash na propaganda za kimasikini eti tukatae matajiri tuwakubali makapuku! Tafuteni maisha kumiliki mwanamke si lelemama! Mwanamke anatunzwa ili aendelee kuwa mrembo kama ulivomkuta na kumtamani!

    ReplyDelete
  9. Ujinga huu na akili ya kwenye uchi! Akipata akili ya maisha atajuta kwa kupoteza muda na kujifarakanisha na familia yake! Dhiki huondoa mapenzi ya kweli! Unaweza mpenda mtu kweli, lakini shida ulizonazo hawezi kutatua! Silaha kubwa ya mwanaume dhidi ya mwanamke ni umahiri na uwezo wa kutatua shida zinazomzunguka mwanamke! Na fedha na mali ndizo silaha nzito za kutatua shida zote! Hapo lazima, utavuliwa soksi, utawekewa maji ya kuoga, utaandaliwa chakula kizuri, utabebwa mgongoni kupelekwa msalani! Kwani huko nyumba ndogo mnapewa huduma bure?

    ReplyDelete
  10. Kwetu sisi wanawake mpenzi wa kweli ni mtatuzi wa shida, inaweza isiwe fedha, lakini hata akili na maarifa ya juu ya kuhandle mazingira yanayotuzunguka! Na wanaume Mungu amewapa kipawa hicho ili muweze kumtawala mwanamke! Huwezi kutawala mwanadamu wakati wewe ni kilaza usiyejiweza! Mtawala ni mwenye nguvu na uwezo wa kuwatawala na kuwaongoza anaowatawala! Sasa ninyi bakini na mapenzi ya hisia mtachapiwa sana tu!

    ReplyDelete
  11. Eti mali zipo tu zitatafutwa! when??? Mpaka niwe kibibi ndiyo tuwe na kajumba kamoja ka kuzikiwa? Mali za ujana ni tamu! Mmezoea mnalala usingizi, na kuchezea ujana halafu mnategemea pension! Wanawake tunataka maisha bora sasa! Siyo slogan zenu za kuvumilia shida zinazotokana na akili na uzembe wenu wa kushindwa kubeba jukumu la kutegemeza familia!

    ReplyDelete
  12. Mapenzi ya kweli yanapaliliwa na means nzuri za kuepusha shida na dhiki! Huwa hayadumu kama shida zikizidi!

    ReplyDelete
  13. HAKUNA ANAEPENDA MAISHA Y DHIKI HUYO SARIKA KAFANYIWA DAWA HAJIELEWII IPO CKU ATAMKIMBIA BAASHA WAKE ATARUDI KUOMBA MSAMAHA WAZEE WK

    ReplyDelete
  14. Anony 1:08 umesema kweli! Au ni ulimbukeni wa kukazwa vizuri! Akishazoea dudu la kibantu na kuona ni kitu cha kawaida sasa dhiki zinazomzunguka zitamuamsha! Tumpe muda! Hata siye tuliruka kuta tukiona hakuna maisha zaidi ya utamu wa boyfriend! Tukafeli masomo, eti tuna mapenzi ya kweli my ass! Bila life nzuri mapenzi ya kweli ni ndoto!

    ReplyDelete
  15. Wewe kapuku unayemjua Mungu, wapi Mungu kasema tuwe masikini? Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana nasi ni watoto wake kwanini tuwe masikini? Mvivu atapata umasikini wa kumtosha! Ninyi mnaambiwa na Mungu yupi muwe masikini? Sisi hatuutaki umasikini na ndiyo sababu tunaangalia sana tusipate waume wa kutudrag kwenye maisha ya dhiki!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hapo Umenena Anonymous 1:19pm. Hakuna anayestahili kuteseka. Huyo sarika amenogewa na mapenzi ya kiswaili. Kila kitu kizuri kinatoka mbinguni.

      Delete
  16. Nipo tayari kuolewa na mwanaume masikini sasa mwenye vision ya kuutokomeza umasikini, mwenye akili ya kitajiri huyu ndiye mume wangu mtarajiwa! Anayetaka mke wa kuvumilia shida na umasikini maisha yake yote apite mbali wala asinisalimie!
    Tutaanza maisha chumba kimoja lakini baada ya miaka 5 tuna nyumba yetu, tutaanza na kuku 3 lakini baada ya miaka 2 tuna mradi wa kusupply mayai! Tuna kibanda cha kuuza vocha lakini baada ya miaka 5 tunamiliki shivacom! Huyu ndiye mume ninayemngojea! Huyu siwezi muita masikini hata siku moja!

    ReplyDelete
  17. Siyo mbaya kuolewa na kijana masikini ila pengine ana akili ya kupambana na umasikini! Kama baada ya miaka 5 hali itabadilika, watadumu lakini mambo yakiwa hivyo binti hakai huyo!

    ReplyDelete
  18. Ingekuwa shida na umasikini ni sifa na kitu cha kujivunia, wanaume wote msingefanya kazi wala kwenda shule! Sasa vile mnavopambana kutokomeza umasikini ndivyo hata sisi wanawake tunapambana ivyo ivyo! hakuna sifa kwenye umasikini! Namna yetu ni tofauti, hata tukimpenda masikini hatuna guarantee ya kuendelea hivyo unless kuna matumaini ya kuondokana nao!

    ReplyDelete
  19. mtachonga sana lkn binti ndo ashafika kwa mshkaji...alichokipanga mungu mwanadamu hawez kukitenganisha

    ReplyDelete
  20. kosa lake liko wapi kwa huyo dada?Acha kijana ale penzi la kihindi.Na mimi nampongeza.

















    ReplyDelete
  21. Eti mnadai hamuwezi kuolewa na maskini mbona wazazi wenu ni maskini? na wewe mwenyewe mbona ni maskini hadi unauza kuma? Wanawake ni 51 % na wanaume ni 49% na wanaume matajiri ni wachache mno ingawa sijui ni asilimia ngapi, hivyo wanawake wachache wakishaoolewa na matajiri wa kiume waliobakia watalazimika kuolewa na hao maskini au kuwauzia kuma hao maskini ili wachangishe zitimie pesa wanazozitaka.

    Pia ukishaolewa na hao matajiri wengi wenu mnaanza kujenga hoja kuwa hanitoshelezi na mnaishia kwenda kuwahonga hao wanaume maskini ili wawatombe vizuri . Kuolewa na tajiri kutoshelezwa ,kimapenzi na maskini. ndio maana watu wanawafira wanawake wa mijini ambao ndio wanaojifanya wajuaji.

    ReplyDelete
  22. Kwa taarifa kuzaliwa na baba masikini ni mpango wa Mungu, kuolewa na mume masikini ni kujitakia! Tupishe huko na njaa zako! Mwanaume kamili ni yule mwenye fedha na mjuzi wa kumtosheleza mwanamke! Hao wake za matajiri mbona hawakimbii magorofa yao na kuja kuolewa na nyie masikini mnaojua kutomba sana? ninyi ni wa kuburudisha lakini ham qualify kuwa waume wa ndoa! Utamuoa utamuweka wapi huko kwenye kunguni?

    ReplyDelete
  23. Kama una fedha tu lakini kitandani goigoi hufai au utavumilika kwa sababu pesa ni sabuni ya roho! Na kama kitandani uko fit ila huna mawe, nakuapia lazima utachokwa na mwishowe utatafutiwa mume mwenzio mwenye pesa ili mahitaji ya mwanamke yapatikane! Huo ndiyo ukweli! mkubali mkatae, mtukane mnune huo ndiyo ukweli! wewe una eshangaa mke wa tajiri kutiwa na masikini na mke wa maskini kutiwa na libosile baya kitambi kama kama Komba!

    ReplyDelete
  24. Babu yako hakwenda shule, wewe mbona umeenda shule? Baba yako alichunga mbuzi wewe mbona hukuchunga mbuzi? Bibi yako alitahiriwa pengine na mama yako, mbona Dada zako hawajatahiriwa?
    Hivyo hivyo mzazi wangu alikua masikini hainifanyi nikae kwenye umasikini sababu mzazi alikua hivyo! Lazima nipambane by hooks and Crookes nitokane nao! So wewe mwenye mentality ya kimasikini sorry! Mvivu atapata umasikini wa kumtosha! Bible inaniambia hivyo!

    ReplyDelete
  25. Mbona hampendi Dada zenu kuolewa na masikini? Shemeji mambo safi na mchovu mnachagua mambo safi! Mchovu anaweza hata kutemewa mate! Kwanini? Halafu mnataka Dada za wenzenu wawakubali na ufukara wenu! Badilikeni ninyi wenyewe kama society! Ninyi ndiyo mnasababisha dada zenu watukimbie makapuku!

    ReplyDelete
  26. Mimi natafuta mwanaume tajiri anioe tuzae watoto wa kike, tuwape elimu nzuri, afya bora, na malezi bora! Halafu wachumbiwe na wauza Maji au wapaka rangi kucha wa pale Mwenge!

    ReplyDelete
  27. Mimi nimeoa binti wa mbunge fulani! Tulikutana UK mi nikibangaiza wakati yeye kaletwa shule! Nilifanya kosa nikarudishwa TZ, na baada ya miezi 6 akaacha chuo karudi TZ kunifuata! Wazazi wake walikasirika sana! Haswa baba ambaye ni mbunge! Tuliendelea na mapenzi kwa siri akapata ujauzito, kaficha mimba hakuna aliyejua mpk wakati wa kujifungua! Msela nilistukia navamiwa kwenye getho yng Mabibo nabebwa nawekwa ndani. Mkwe ni waziri wa mambo ya ndani kipindi hicho!
    Niliokoka baada ya binti kumwambia baba yake akiwa muhimbili kajifungua kwamba anakunywa sumu!
    Kaka zake walinichukia sana! Nimeharibu future ya Dada yao eti mchovu tu fulani! Baada ya uzazi Mhe. akamfanyia mpango binti kaingia DAHACO sasa Swissport.
    Kumbuka mtoto sijamuona na vile sina hata shilingi ya kununua pampers! Na nimepigwa marufuku kukanyaga wala kuonekana na binti popote! Yeye akawa anakuja kwa siri geto kwangu anatoroka kazini namkaza sawasawa anarudi kazi! Mara akapata mimba ya pili! Mzee kafukuza ikabidi aje na mtoto tukae chumba kimoja!
    Bahati yeye akakopa kazini tukapanga kanyumba mitaa ya Tabata!
    Akanibembeleza sana nimuoe ili kuondoa mtafaruku! Mahari kalipa yeye, kila kitu, tukafunga ndoa, ila Shemeji zangu hawanipendi mpaka kesho! Shughuli za familia, hata misiba sihudhurii, ninanyanyapaliwa! Mzee amestaafu ila ndiyo hivyo kanichukia sababu ya umasikini! Mke wangu anatunza familia na kusomesha watoto!

    ReplyDelete
  28. Naendelea Shemeji zangu wa kiume hawanipendi kabisa, hata tukikutana kitaa hawanipi hi! Ila mamamkwe na dada za mke wangu wananipenda sana! Mama wa mke wangu alikua anaiba chakula na fedha kutuletea geto Mabibo! Tukigombana na mke wangu mama anatusuluhisha na mara nyingi anakua upande wangu! Kwahiyo nataka kuwaasa wanaume wenzangu kupata mwanamke atakayevumilia umasikini wako ni bahati! Isitoshe sisi ndiyo tunaosababisha watoto wa kike wakimbie wanaume masikini! Wakikubali masikini huko kwao wanatengwa na sisi sisi wanaume. Mfano Mh. mbunge na vijana wake!

    ReplyDelete
  29. Hahaa story tamu, hivi sasa hapo umeoa mtoto wa mbunge au umeolewa na mtoto wa mbunge?

    ReplyDelete
  30. Nimefantasize na story yenu hapo juu!
    Mapenzi ya wizi matamu sana! Chupi imelowa.... natamani kupata mwanaume ambaye hajaoa, lakini anakaa hata chumba kimoja, msafi wa mwili na haswa boxers zake!
    Afya nzuri, na awe na mboo kubwa! Niwe natoroka kazini namfuata kwake ananikaza weeee kila style then narudi ofisini! Nitajigharamia kila kitu ila sitaki hela yake! niko vizuri kwa umbo na sura na mweupe wa asili! Yaani kutiwa kwa kuiba nakojoa sana!

    ReplyDelete
  31. Eti Kuzaliwa na baba maskini ni mpango wa Mungu na kuolewa na maskini ni kujitakia, je mamako alikuwa mjinga kuolewa na maskini/ upende usipende wanawake wachache tu ndio wataolewa na hao matajiri na wengi wenu mtaolewa na maskini tu kwa sababu wanaume matajiri ni wahache. Kila kukicha katika mablog ni malalamiko oo mume wangu hanitoshelezi huku mkiishia kutombwa na hao mnaowadharau kuwa maskini tena huku mkiwalipa. Kuuza kuma ni dalili ya umaskini na wanawake wangapi wanauza? halafu unajifanya kukandya? kaka zako ni matajiri? Kuna wanawake wengi wana uwezo kwao na wameolewa na wanaume walio duni kimapato kuliko wao na wanawatii na kuwaheshimu na hawatoki nje ya ndoa sembuse nyinyi Malaya. Kuna wanaume wengi wanatomba wanawake bila gharama zozote na maisha yanasonga. Ingawa natetea penzi kutokuchanganywa na hali za kiuchumi mimi sio maskini ingawa sio tajiri pia kwani nina kazi na nimesoma na shahada ya pili ninakaa katika nyumba yangu ingawa nilipoanza maisha na mke wangu nilikuwa nimepaanga vyumba viwili tu na nilikuwa na certificate. Mtaendelea kuwanasa wanaume wajinga tu wanaohangaika kufanya uhalifu kazini kwao ili wapate hela za kuwahonga nyinyi na mwisho wa siku laana inawatafuna.

    ReplyDelete
  32. Masikini wataendelea kuwatomba nyinyi mnaojidai kuwa hamtaki kuolewa na maskini tena mtawalipa. Mbona kilakukicha hamuishi kulalamika kuwa waume zenu matajiri hawawatoshelezi? Wewe mwenyewe unauza kuma kwa kila mtu na wakati mwingine unachangisha kwa wanume kadhaa ili zitimie hela unazotaka je sio umasikini huo? Kaka zako mbona masikini? na wao wasioe? Mpende msipende masikini watawaoa tu labda kama wanaume wengi wangekuwa matajiri ndio mngeepuka kuolewa na masikini tena wengi wenu mnaenda mpaka kwa waganga kusaka ndoa. ndio maana makanisa ya kitapeli yanawavuna sana maana unajifanya kuringa sasa lakini baadae unahangaisha katika makanisa ya kitapeli kusaka muujiza wa kuolewa na yeyote huku ukidai nichaguo la bwana wakati ni masikini yule yule uliyejifanya kumkataa. Tusubiri time ndio msema kweli.

    ReplyDelete
  33. Poor African men! No wonder umasikini umelikamata bara la giza! Kama ninyi mnaona sifa kuwa masikini, nchi itapiga hatua kweli? Mind zenu zimejaa giza la umasikini! Na hamtaki kutoka huko mnadwell kwenye ujinga na upumbavu kisha mnataka na sisi wanawake tufikiri kama ninyi! Pumbavvvvvv ....... wenzenu wanavumbua technologies mpya za juu nyie na pumbu zenu zenye kwashiorkor mnapambana na wanawake wakubaliane na umasikini! Nani kawaloga?

    ReplyDelete
  34. Unajua hata simba akizidiwa hula nyasi! So usishangae nyie kapuku kututomba ni sababu tumekosa nyama (matajiri) ila wakitokea si mnaona tunavo wakimbia? Wake zenu wanasulubishwa na mapedejee mjini hapa! Mkeo alipe kodi ya nyumba, asomeshe watoto, atibiwe regency na spacio iwe na fuel unategemea mshahara upi? Endeleeni kulala

    ReplyDelete
  35. Ukiona Dada zako wanauza kuma jua behind there is a useless man(husband, boyfriend or father)!

    ReplyDelete
  36. hakuna mtu wa kumlaumu kwa umasikini wako wewe dada ila wewe mwenyewe. hivyo kuhangaika kutafuta mtu mwenye pesa ni indicator ya umasikini kwako. lakini hata mfanyaje wengi wenu mtaolewa na hao hao masikini tena mtawaendea mpaka kwa waganga ili wawaoe. Na sisi waname unaotuona masikini wengine tumeoa wadada wako vizuri tu tunajua vipato vyao vya halali na tunavidhibiti na wao wametulia usidhani kila mwanamke anashabikia kuuza kuma hata universities ukienda leo hii pamoja na ufuska wote bado utakuta wapo wanawake bikira na waliotulia wasiouza kuma japo wachache

    ReplyDelete
  37. Wake zetu sisi masikini hawatombwi na mapadeshee kama ulivyo wewe. Usidhanie kuwa kwa kila mwanamkew kuma ni biashara. Wako wanawake wenye maadili yao ya kidini na kijamii ambao waliamua kuolewa na mwanaume bila kujali hali yake akiwa masikini au tajiri sawa lakini sio kwa kigezo chautajiri. Hao uanowaona wanatombwa na mapesheee ni kama wewe ambaye ni masikini lakini unafosi maisha. Hao ni wenzako na wewe.

    ReplyDelete

Top Post Ad