AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo lilijiri mkoani Tanga wakati msanii huyo alipokwenda kwenye Tamasha la Fiesta, alipokaa kwenye kiti alijikuta akikaa vibaya mazingira yaliyomfanya ahangaike ili kuziba maeneo yake muhimu.
Kutokana na hali hiyo, alichukuwa pochi yake na kuiweka mapajani na kufanikiwa kujiziba, lakini licha kufanya hivyo alikosa raha.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyu ni mke Wa mtu kashaolewaaa,acheni kumpa kiki
ReplyDeletewamama wa kisasa hao..kwa iz picha cjui anamfundisha nin binti ake
ReplyDeleteMtoto wake anaingia form one,Jamani kajala namsikitikiaga huyu mwanamke.UNACHOfAnya mwanao anakuiga,kuwa mfano mzuri kwa binti yako mbona hujiheshimu,unajifanya binti kumbe zee na mume juu tiki jela.
ReplyDelete