Sababu Inayosemekana ya Babu Tale kumsimamia Shilole kikazi kwa Sasa ni Hii.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Manager wa Tip Top Connection na Diamond Platnumz Babu Tale inasemekana anamsimamia kwa sasa Shilole kama msanii wake kwa kile ambacho kimeelezwa na Soudy Brown kuwa deni alilokua anadaiwa Shilole.
Deni ambalo linasemwa kuwa Babu Tale alilipa ni la gari ambalo alikua akidaiwa Shilole hivyo wakakubaliana kuwa watakua wakikatana kwenye show tofauti mpaka deni hilo litakapoisha.
Soudy Brown kaongea na Shilole ambaye kasema ‘Mbona mimi sijui hayo mambo,sio kweli huo uwongo watu waongo sio kweli,gari ni langu na nina kila kitu changu watu wana donge kuona mimi Shilole naendesha Toyota Harrier Lexus nilinunua Milion 24′
‘Babu Tale ni mtu anayenisaidia kwenye kazi zangu na namheshimu kama kaka yangu nimeanza nae kazi mwaka huu na sina mkataba nae’
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hapo bado cjajua nani anaetafuta kick

    ReplyDelete

Top Post Ad