Wanasiasa wa Tanzania Igeni Mfano Huu wa Zito Kabwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika kuonesha ukaribu na vijana na utayari wa kutoa msaada wa hali na mali, Mbunge wa Kigoma Kasikazini Mh Zitto Zuber Kabwe amemtungia mashairi msanii wa muziki wa Bongo fleva hapa Tzee Linex Sunday Mjeda, ambaye kwa sasa kitaa anahit na single ya ‘Honga honga’.

Ngoma aliyotungiwa na Mh Zitto inategemea kutoka hivi karibuni pamoja na video yake inayo kwenda kwa jina la ‘Wema kwa Ubaya’ ngoma ambayo imetengenezwa na Maproducer 3 Mo fire Monagangstar &Tuddy Thomas. Video imetayarishwa na Adam Juma. linex amedhibitisha hilo leo wakati mwandishi wa BK alipo mcheki hewani “Nikweli wimbo wa ‘Wema Na Ubaya’ kuna mashairi kanitungia Mh Zitto Kabwe na itatoka na video yake hivi karibuni”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Badala ya kutunga wimbo wa kuimarisha kilimo anatunga za mipasho alafu wapambe mnamsifia huyo zitto kwa lipi? La kuvunda halina ubani,zitto amejimaliza mwenyewe,ccm sasa hivi wanahangaikia UKAWA hawana habari na ACT ya zitto

    ReplyDelete
  2. waige mfano gani? USALITI? au tamaa ya fedha?

    ReplyDelete

Top Post Ad