AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Instagram yake hit maker wa ‘Number 1’ ameamua kuwaonjesha kidogo mashabiki wake wimbo mmoja ulioko kwenye maktaba yake.
“wakati Mwingine natamanigi hata mngepata dakika moja tu ya kuskia nyimbo nilizo nazo ndani, … hii inaitwa #Nitampata_wapi? sjui kina @babutale wataitoa lini… maana haipo kabisa katika list ya nyimbo zitolewazo… ila, kwakuwa nyie ni watu wangu wa nguvu nimeamua kuwaibia kidoogo, sjui watanimind!#GermanyWeekEnd.” – Diamond
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona nyimbo zake zote zinafanana
ReplyDeletehuyu kafanya nini ujermani,,,,sijaisoma vizuri
ReplyDeletejamaniiii nime google sign za vidole anazozitoaga domo ni za wavaa suti.duuuu hiii ni hatariiii,mpaka naogopa.
ReplyDeleteHii Ngoma kali sana! Nnna hamu ya kusikiliza kila dakida yaani.....Good Job Diamond Plutnumz....
ReplyDeletewacha atupe mambo .....ni bonge la ngoma
ReplyDelete