AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji huyo wa filamu alisema kuwa tetesi kuwa ana fedha nyingi kiasi cha kuwa na mpango wa kumwajiri Wema Sepetu ni uzushi mtupu. “Mbona maisha yangu ni ya kawaida sana,” Kajala aliiambia Bongo5.
“Mimi naona nipo vilevile hakuna kubwa sana lililongezeka. Nafanya shughuli zangu tu. Tatizo watu wanaamini sana magazeti. Mimi i sina utajiri huo wanaouzungumzia, Kajala ni yule yule,” alisisitiza.
Hivi karibuni Kajala alizindua filamu yake fupi iitwayo ‘Mbwa Mwitu’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sawa hauna utajiri mkubwa tunajua,lkn mshukuru mungu kwa hicho kidogo alichokupatia,cha muhimu unaweza kusimama kwa miguu yako,ukamlea na mtoto wako vizuri basi inatosha mama,hayo mengine waachie walimwengu,maana magazeti ndio yanayoletaga chokochoko,watu wakigombana wao wako pembeni wanawacheka.
ReplyDeletewalimwengu ndio walivyo kajala big up na movie yako ya mbwa mwitu hao wanaosema huwezi kitu watuonyeshe za kwao basi!!
ReplyDelete