AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wolper aliandika ‘Tukio lililoniuma ni kutohudhuria katika furaha ya milele ya my dada kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu‘ ambapo baada ya post hiyo baadhi ya followers wa Wolper walianza kutukana kwenye comments na kukosoa mavazi ya Maharusi kama unavyoona hapa chini.
Baada ya matusi kuongezeka ilibidi Wolper aifute hiyo post muda mfupi baadae na kisha akapost picha yake na kuiambatanisha na haya maneno >>> ‘Jamani hivi wapenzi wa Insta tabia ya mimi kuweka picha ya mtu alafu mnakosoa mnatukana sio poa, kwanini msitukane yangu tuu, naweka picha za maharusi wa watu mnaweza kuwa Wanamitindo wa kukosoa watu hawajui kuvaa kwanini? sio poa sijapenda…… haya nibomoeni hapo hiyo picha ni yangu, ruksa‘
Hata hivyo baadae ya hii post Wolper alipost nyingine ya Maharusi hao lakini isiyoonyesha sana mavazi yao kwa kiasi kikubwa ambayo ndio hii hapa chini na kuandika maneno mafupi tu…. ‘One love my sisy’
Follow Us :
Instagram: @Udakuspecially
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MAWIVU YAO KUONA MWENZAO KAOLEWA WATABAKI MANUNGAYEMBE
ReplyDelete