AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madai ya mashabiki hao yaliyowekwa kwenye mtandao wa TMZ pamoja na picha ni kwamba Beyonce alihariri sehemu iliyoonesha nafasi kati ya mapaja yake ili aonekane mwembamba zaidi.
“Questionable thigh gap there, Bey. #photoshop #wonkystep #beyonce,”aliuliza shabiki mmoja.
Bado swali linabaki kuwa, je, watu maarufu huamini wanakuwa na mvuto zaidi wanapokuwa wembamba kuliko walivyo na bantu figure?
Masaa machache baada ya tuhuma hizo kuenea, Beyonce aliamua kujibu kwa vitendo kwa picha zinazoonesha uhalisia wa mwili wake na kwamba hakuna ‘Photoshop’.
Hata hivyo, hii sio mara ya kwanza kwa mashabiki kumtuhumu Beyonce na Jay Z kufanya photoshop ya picha zao ili aonekane mwenye mvuto zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiyo picha ya juu inaonyesha beyonce anakiyumbua kikubwa, Jay Zatakuwa anafaidi mautamu mpaka basi
ReplyDelete