Bifu Wolper na Rayuu: Rayuu Amtaka Jack Wolper Akapime Ukimwi na Kuyaanika Majibu yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bifu lingine la chini chini kati ya Waigizaji wa Bongo Movies Jackline Wolper na Rayuu Limefikia Pabaya Pale Ambapo Rayuu Ameibuka na Kumtaka Jackline Wolper Akapime Ukimwi na Kuanika Majibu yake kama alivyofanya yeye.

Imefikaje Huku:

Rayuu Anadai Alisikia kutoka kwa Mashosti wake Kuwa Jackline Wolper anamtangaza kwa watu kuwa anaukimwi jambo lililomuuma sana na kuamua kwenda kupima ngoma na kuweka majibu kwenye mtandao wa Instagram, Sasa Rayuu nae anataka Jackline akapime Ngoma na Atuoneshe Majibu yake...Patamu Hapo!!
-------------------
“Letting go doesn't mean that you don't care about someone anymore. It's just realizing that the only person you really have control over is yourself.” 
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad