AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Awali Mdee alilakiwa na umati mkubwa wa watu wakiwa na msururu mrefu wa magari,pikipiki,baiskeli huku akina mama wakiwa kandokando ya barabara wakipunga matawi ya miti.
Ujumbe mkubwa wa Halima Mdee kwa wanaChato ni kuikataa Katiba Haramu ya CCM na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.
Halima Mdee maarufu kama Tanzanian Iron Lady alipokea kadi 200 za watu walioamua kujitoa CCM na kujiunga Chadema.Huku mamia ya wananchi wengine ambao hawakuwa na chama wakijiunga pia Chadema.
Ikumbukwe jimbo la Chato linaongozwa na mbunge wa CCM John Pombe Magufuli ambaye ni waziri wa Ujenzi.
Ni simulizi hapa Chato kuanzia jana mpaka asubuhi hii kumzungumzia Halima Mdee na Chadema!
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mwanamke akiwezeshwa anaweza big up Mdee
ReplyDeleteiron lady goooooooooooooooooooo gooooooooo goooooooooooooooooooooooooo wewe ndo mwanamke unaeweza kusimama bada ya amina kufariki tunakutegemeaa utukomboee mamaaaa
ReplyDeletehuyu dada safi saaaanaaa, tunakupenda Halima!!
ReplyDeleteall the best to the revolution Journey, CCM mtaikimbia nchii hii...nyie na vizazi vyenu, ibeni tuuu
ReplyDeleteUNAVAA kuwa waziri mkuu,wa 2015,au waziri wa mambo ya ndani unakubalika ndani,na nje ya mipaka ya Tanzania.
ReplyDelete