AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha Hapo Juu ikionyesha Mgawanyo wa Fedha.....
Mwee....Hapana sio kila siku ni jumapili .siku nyingine ni ijumaa wakishindwa tutaingia mtaani kudai haki zetu .pamoja na ukawa tunaweza sio kitu ,ushenzi kama huu unatakiwa ukomeshwe ili tufike tnako taka kwenda watu wachache wanagawana hela ya kusambaza madawa nchi nzima huu ni uonevu wa wanyoge hatukubali..
Hili Sakata la ESKROW ni matata matupu.
1. Ziara ya Jaji Mkuu kwenda kumtembelea Mh. Rais (nini ulikuwa mjadala)?
2. Maamuzi ya kusema Sakata hili lisijadiliwe Bungeni liko Mahakamani... Je linatokana na Ziara?
3. Waziri Mkuu kutaka Busara itumike. Ipi? labda angetoa ufafanuzi...
4. Wabunge kutoridhishwa na mwenendo wa Sakata na na namna Serikali inavyotaka kulifunika funika.
Spika uamuzi wako utaliokoa Taifa au kulididimiza. Ni wazi kabisa ukumbuke hapo ulipo utakachokifanya kitadhihirisha umoja wa uovu au weledi wako kupingana na maovu..
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK