Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na Diamond Litaisha Lini?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya hawa wasanii wadogo wa nigeria tangu nyuma walipoanza kazi zao za usanii.

awali wawili hao walikutwa wakiwa na furaha tele kwenye birthday ya kaka yake davido, kitu kilichowapush waandishi kupata akshi ya kujua nini kinaendelea.

Davido alidai tofauti zao zimekwisha na watu waliweka suluhisho ni watu wenye pesa zao wa nchi hiyo, hakutaka kuwataja majina ila tu ni kwamba kuna kikao kiliandaliwa na matajiri hao chenye nia ya kuondoa ofauti kati ya davido na wiz-kid, pia davido alinukuliwa akisema uwezekano wa collabo na wiz-kid yawezekana ukawepo.

Tukija huku Tz kumekua bado kuna hali ya utata hasa kati ya Diamond na Ally .k na hakuna tetesi zozote zinazosikika ikiwa kama kuna mpango wa kuondoa tofauti kati yao
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad