AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika sehemu ambayo ilisahaulika na kudharaulika katika nchi hii ni ngazi ya local government. Tumekuwa tukiishi kwa muda mrefu uku tukimaanishwa kuwa Wenyeviti wa serekali za mitaa/vitongoji ni wazee tena wale ambao hawana cha kufanya na zaidi ni wale wazee wasiokuwa na elimu ya kutosha.
Kwakua Ukawa safari hii imechukua viti vingi kwenye ngazi ya Serekali ya mitaa. Wito wangu kwa Ukawa ni kutoa semina elekezi kwa wenyeviti wote na wajumbe waliochaguliwa katika mitaa husika.
Ki ukweli wenyeviti wengi wa serikali za mitaa toka Ukawa ni wasomi ila ni wageni katika mambo ya Local Government hivyo basi kuwaacha waanze kazi zao bila kuwapiga msasa itawafanya wafanye kazi kama wenyeviti wa ccm walivyokuwa wakifanya before. Ila wakipatiwa mafunzo watafanya kazi kiufasaha na hatimae yale mabadiliko yaliyotazamiwa na wananchi yataonekana.
By Eddo Sambai
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
POINT
ReplyDeleteSAFIIIIII
ReplyDelete