AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bodaboda walivamia kiduka cha M-PESA, tiGO PESA na Airtel Money; wakati wanaondoka wakawa wanapiga risasi ikampata huyu dada alikuwa anajipitia barabarani hajui hili wala lile.
My Take:
Dah! Kwa mambo kama haya ndio najikuta naamini kwamba Kuwa Mtanzania ni shida sana, yaani hawa wahuni wanaenda kupora kwenye M-Pesa na kuua watu halafu wanafanikiwa kuondoka wakiwa salama? Yako wapi mafunzo ya Jeshi la Polisi, waliokaa CCP Moshi kwa miezi sita kwa kodi za wananchi?
Uko wapi ujasiri wa Polisi wanaopandishana vyeo kila kukicha? Wahuni wanaua wananchi mchana kabisa na bado mnasema hii ni nchi ya amani? Imekuwa polisi ya maneno mengi tu na vitendo vifupi. Yaani nimejisikia vibaya mno kwa kifo cha huyu mama ambaye alikuwa akipita njia tu na zake. (RIP)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kweli mafunzo ya miezi 6 haitoshi kwa usalama wa raia na mali zao,wanatakiwa elimu ya kutosha,masomo kuhusu jamii,sheria za nchi,jinsi ya kujihami self defence,kujifunza first aid and CPR,ili kuweza kuokoa maisha ya watu,kutalii nchi 3 au 2 kabla ya kuajiriwa,Mungu tusaidie ,katiak nchi yetu Tanzania,pia askari wawe wavumilivu.
ReplyDelete