Pacho Mwamba Aponzwa na Ucheshi Wake Pamoja na Umaarufu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KATIKA hali ya ucheshi Patcho Mwamba alituma picha yake kwenya ukurasa wake wa Instagram akiwa kavimba uso kutokana na matatizo ya allegy. Na chini ya picha hiyo alitoa maelezo kuwa akinywa bia anavimba uso hivyo na kuuliza kama mtu anajua dawa.
Katika hali ambayo inadhihirisha mitandao ya jamii inavyotumiwa vibaya na watu wengine picha hiyo ikaanza kusambazwa katika whatsapp ikieleza kuwa huo ni uso wa Patcho baada ya kupigwa kutokana na kufumaniwa, na hata maelezo mengine yakidai tukio hilo lilitokea Sinza Hotel.
Yote ni uzushi ambao unatisha kwani siku hizi mengi huzuliwa na watumia mitandao wasio na busara au hata utu kidogo.
Pole Patcho Umaarufu una gharama
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nae ndo swali gani hilo?dawa ni kuacha kwani lazima unywe.

    ReplyDelete

Top Post Ad