AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika hali ambayo inadhihirisha mitandao ya jamii inavyotumiwa vibaya na watu wengine picha hiyo ikaanza kusambazwa katika whatsapp ikieleza kuwa huo ni uso wa Patcho baada ya kupigwa kutokana na kufumaniwa, na hata maelezo mengine yakidai tukio hilo lilitokea Sinza Hotel.
Yote ni uzushi ambao unatisha kwani siku hizi mengi huzuliwa na watumia mitandao wasio na busara au hata utu kidogo.
Pole Patcho Umaarufu una gharama
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nae ndo swali gani hilo?dawa ni kuacha kwani lazima unywe.
ReplyDelete