AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mara baada ya kuiweka picha hiyo hapo juu ya Irene Uwoya Shamsa aliandika;
“Kwa mtazamo wangu mimi katika wanawake wa bongo movie nzima hamna mwanamke anayempata iren kwa roho nzuri, ni mtu ambaye anapenda wenzake, anaweza akatumia hata senti yake ya mwisho ilimradi tu akae na wenzake, si kwamba ni tajiri but ana moyo na mapenzi kwa kila mtu bila ubaguzi..I love u irene wangu” Shamsa alimaliza.
Huu ni mtazamo wake tu, msijenge chuki jamani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
I like Irene so much.,,,,kisses
ReplyDeleteNIMEMPENDA UWOYA KWA MOYO WAKE WA KUONYESHA UPENDO JKWA WENZAKE MUCH LUV 2 U BABIE
ReplyDelete