AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika wodi ya wazazi katika Hospitali hiyo Muuguzi wa zamu, Naabu Geraruma, amesema kuwa mwanamke huyo amefanikwa kujifungua Januari 5, 2015 usiku wa saa saba kwa njia ya operesheni ambapo watoto hao wenye jinsi ya kike wamezaliwa wakiwa na uzito wa kilo 4.6.
Amesema tukio hilo ni la kwanza kutokea katika Hospitali hiyo na kwamba hali ya mwanamke huyo na watoto zinaendelea vema na taratibu za kumpeleka katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mwanza Bugando zimekamika.
Taarifa kutoka jijini Mwanza na kuthibitishwa na Mkurugenzi wa Utawala na Rasmali Watu wa hospitali hiyo, Leah Kagine, zinasema tayari mwanamke huyo na watoto wamefikishwa katika hospitali hiyo kwa ajili ya matibabu na uchunguzi zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK