AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na paparazi wetu, Dokii alisema kitu kikubwa kilichomfanya awatoe wanaume moyoni kwa mwaka 2014 ni kutokana na wengi wao kutokuwa na upendo wa dhati.
“Siwezi kuwa na mpenzi wakati kila siku naona wenzangu wanalia, sijui nitapata wapi mwanaume mwenye upendo, wengi wapo kwa ajili ya kufanya ngono na mwisho wa siku wanakuumiza,” alisema Dokii.
~Globalpublishers
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
unataka kuolewa baada ya kuwa umetumika sana hivyo ........... labda kaolewe na mzee
ReplyDeletewe c umeokoka. Nenda kanisani nina hakika utapata. ILA USIWE NA UCHAGUZI UTAPATA Muinjilist. ILA HAO UNAO WATAKA MACHECK BOB, WENYE HELA, NA UPENDO IS "impossible" mamaaaa
ReplyDelete