AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo Asubuhi Zimeibuka Tetesi kuwa kuwa Kuna Mwanamke Mmoja ajulikanae kama Violet amefariki Dunia baada ya Kusemwa sana na Blog hiyo, Habari ya kifo chake bado haijazibitishwa rasmi kwani kwenye mitandao ya instagram na Facebook kila mtu anaongea lake , Wengine wakisema kuwa mwanamke huyo anafake kifo chake ili u-turn waondoe post iliyomsema na kuweka mambo yake ya siri hadharani..Tutawaletea Updates za Habari hii Baadae tukipata uhakika wa kilichotokea
Ila kama ni kweli RIP Violet
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kachambwa balaaa na umchepuko wake umeweka hadharani, na watu wanaotukana wenzao kwenye mitandao ndo wajifunze na wakome.
ReplyDelete