AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Cha kushangaza sasa, kuna mijitu yenye upungufu wa akili kichwani inajichubua bila huruma, kibaya sasa, kwenye zile joint za mikono na miguuni unakuta rangi yake ya asili inabaki, na hata sehemu zingine za mwili unakuta mabaka mabaka, yaani huwa nasikia hasira sana.
Ki ukweli Hata uwe Mzuri wa Aina Gani yaani Ukiwa umejichubua ngozi mimi nakushusa samani 100% siwezi hata kukupa mistari , Na ukiangalia wanawake wengi waliojichubua ni watata hata kwenye ndoa zao huwa hazidumu kiivyo....
Maoni yako Tafadhali kuhusu Wanawake wanaojichubua
---------------------
Qoute of the Day
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.'
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wala hujakosea, sina hata urafiki wa bahati mbaya na aliyejikwatua... inasikitisha kuona kuna watu wana rangi ambazo hata majina hazina kutokana na athari za kujichubua. mbaya zaidi kuna wasiojifunza kutokana na makosa ya waliojichubua kitambo. athari zake iko njiani zaja, yangu macho... wengi wao walikua wazuri,,, sana, ila sasa la hasha!
ReplyDelete