AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia..
Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Bongomovies.com bado haijazithibitisha taarifa hizi.
Kama ni kweli, tunampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Amechelewa sawa miaka hamsini ni ndio anamvisha pete watoto si watalelewa na babu sasa Joti umri umeenda
ReplyDeleteDu kweli Joti Mzee tangu mwaka 1980 anaigiza pete ya chumba ndio kwanza je ndoa atafunga lini mi nimemzoea mzee wa chalinze
ReplyDelete