Maimartha Amtolea Uvivu Manamuziki Chege, Amwita Mwanamuziki Uchwara na Mpuuzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Chege kumbwatukia Maimartha aliposema amevaa hirizi kule dodoma kwenye shoo maimartha aamua kumtolea uvivu vhege na kufunguka instagram kama ifuatavyo

"Chegechigunda this is too much embu koma kunitukana mpuuzi ni we we usiyejua kusoma SMS vizuri..niliandika kwa wema Tu naona mwenzangu umatake advantage huna angle ya promo eh..nyie wanamziki uchwara embu mjiheshimu msipende kugombana Na watu Chegechigunda mpuuzi ni we we... Na kama we we mwanaume Mimi mwanamke!"kaogee..chezea vyeusi hiki chekundu ntakutia DOA...take ur time usione nilinyamazaa weee ....ehee"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad