AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema tukio hilo lilitokea Februari 25 mwaka huu saa 11:45 jioni.
Akieleza mazingira ya tukio hilo, Kamanda Kamwela, alisema siku ya tukio jirani na familia hiyo alipigiwa simu na mume wa marehemu na kumwambia ameuwa mkewe na kumtelekeza ndani ya bomala ng’ombe.
Kwa mujibu wa kamanda, mwanamke huyo aliyeuawa ametajwa kuwa ni Jenipher Peter (45). Alisema alikuwa akiishi na mume wake, Peter Mrosso (43) pamoja na watoto wao watatu. Alisema mwili wake ulifukiwa ndani ya boma la ng'ombe.
Kamanda alisema taarifa za mauaji ya mwanamke huyo ilitolewa baada ya jirani yake kupigiwa simu na mume wa marehemu, akimtaarifu kuwa amemuua mkewe na maiti ameifukia ndani ya boma la mifugo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Eeeh Mungu,yaani hii dunia kila siku inakuwa kama jana,yaani watu wanakemea vitendo viovu lakini ndio kwanza watu wanaendeleza.Mbaya zaidi huyu kakiri kufanya mauaji mwenyewe,lakini si ajabu tukamuona mitaani baada ya muda si mrefu.
ReplyDeletehuyu baba kachanganyikiwa kama siyo kuwehuka kabisa. inaonekana hakukusudia kuuwa.
ReplyDeletenilijua mambo hayo ni kanda ya ziwa peke yake hadi kilimanjaro duuu majanga
ReplyDeleteWameishi miaka mingi wamejaliwa watoto 3 huyo jamaa sio chizi kuna sababu iliyompelekea kufanya hivyo tusilaumu tu moja kwa moja hawa kina mama wakati mwingine wanakuwa kama kaa la moto
ReplyDelete