Muziki wa Tanzania upo Mahali Pazuri kwa Sasa. AY, Diamond Platnumz Washika Number Moja Trace International na Soundcity

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muziki wa Tanzania upo mahali pazuri kwa sasa. AY, Diamond Platnumz na wasanii wengine wanaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa.

Wasanii hao wamekamata nafasi za kwanza wiki hii kwenye top ten za chart za muziki wa Afrika katika vituo vikubwa viwili vya runinga.

Diamond Platnumz amekamata nafasi ya kwanza kwenye African Top 10 ya Trace International na wimbo wake Ntampata Wapi.

Naye AY amekamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Africa Rox Countdown ya Soundcity kwa wimbo wa ‘Touch Me’ aliowashirikisha Sean Kingston na Ms Triniti.

Wasanii wengine wa Tanzania waliopo kwenye chart hiyo ni pamoja na Shaa na Navy Kenzo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad