Picha ya Mpenzi wa Diamond , Zari Akioga Bafuni yazua Gumzo Mtandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadil

Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo:

faridahfakhi :Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu

santamolly1234: ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata na dogo still mnasema anajua kulea labda kumlea mond hapo sawa....by de way nahis alivuka stage coz kasoma sana so bata ndo anazianza so cwez mlaum sanaaaaaaa muache ale maisha tuuuu.

faridahfakhi :Sasa nashindwa kuelewa ivi we wewe ndo unajianika ivyo alafu ndo uwe mke labda wa fission show

ladymodal :Simama tukuoneee....bad!

Una maoni Gani Kuhusu Hiyo Picha Hapo Juu?

--------
I can still love an ex as a person, regardless if the breakup was bad. I would never wish anything negative on them. It takes more energy to hate them than to wish them well.
Ashley Greene




----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Zari nampenda sana ila kwa hili kaniangusha sana lol. Kanikeraaaaaaa!!!

    ReplyDelete
  2. wasi wasi wako tu hakuna la ajabu hapo!!! zari uko pouwa sana !!!!

    ReplyDelete
  3. Picha za kawaida kabisa acha ushamba wako joe!!

    ReplyDelete

Top Post Ad