AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kijana anayejulika kama Mayunga ameitoa kimasomaso Tanzania baada ya kushinda shindano la music lijulikanalo kama Airtel Trace Music lililoshirikisha nchi kumi na mbili za Africa , shindano hilo lilifanyika jumamosi iliyopita nchini Nairobi ..Kwa ushindi huo Mayunga amepata deal la kuwa chini ya Record label ya Mwanamuziki Akon ijulikanayo kama Kon live na Universal music Group.... Mayunga anaungana na kina Diamond na Idriss katika kuitangaza Tanzania vizuri katika ramani ya Dunia kwenye maswala ya burudani
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiiiii hongera brother
ReplyDeleteCONGRATULATIONS BOY
ReplyDelete