Kocha wa Pacquiao Anahofia Mayweather Ataingia Mitini May 2 (Picha)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha wa Manny Pacquiao ana wasiwasi kuwa Floyd Mayweather anaweza asitokee kwenye pambano la kesho kutwa jijini Las Vegas.
Floyd Mayweather na Manny Pacquiao walikutana jana mbele ya waandishi wa habari jijini Las Vegas
Pacquiao na Mayweather wanakutana Jumamosi hii kwenye pambano lenye gharama kubwa katika historia ya ndondi duniani. Freddie Roach, kocha wa Pac alisema: Nina wasiwasi kama (Mayweather) atakuja usiku huo.
2825E7D300000578-3061460-image-a-41_1430343137572
Mshindi wa pambano hilo atakabidhiwa mkanda huu wa thamani kubwa
“Sidhani kama mabondia wote wanahofia, ila sidhani kama alitaka kupigana. Alilazimishwa kupigana pambano ambalo hakulitaka,” aliongeza.
2826364D00000578-3061460-image-a-78_1430357149893
“Sijui tu kwanini Floyd amekuwa mkimya kwenye pambano hili. Maneno yake yana woga!
2825EAC300000578-3061460-image-a-44_1430343469263
Hata hivyo Mayweather hakushangazwa na kauli ya Roach na kudai: Nitakuwepo. Niliongea uchafu siku za nyuma lakini pambano hili linajiuza lenyewe, hivyo sina haja.”
2825E31F00000578-3061460-image-a-34_1430342965811
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad