AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa kikundi cha Al - Shabaab leo asubuhi wakati akihojiwa juu ya taarifa zilizoenea kwamba wana mpango wa kuvamia Tanzania amesema haya yafuatayo;
Kamwe hawajawahi kufikiria kushambulia, Tanzania Kwa sababu hawana sababu ya kufanya
hivo!
Amesema kwamba mbali ya kuzingatia kuwa, Tanzania kuna waislam wengi, bali pia wanajua na kutambua msaada wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwaka 1995 alipotoa msaada wa tani 500,000 za Mahindi kipindi nchi hiyo ina janga la njaa. Hivyo hawawezi kulipa unyama huo kwa marehemu baba wa taifa.
Pia kiongozi huyo aliongeza kuwa Tanzania haijapeleka jeshi lake Somalia yenyewe nchi kama nchi, tofauti na Kenya na Uganda.
Wanajeshi wachache Watanzania walioko Somalia ni katika jeshi la AU, na sio Kwa amri ya Tanzania.
Kiongozi huyo pia katoa pole katika muda wa siku mbili ambao Watanzania hususani wanachuo waliokuwa katika hali ya sintofahamu na pia vyombo vya usalama ambavyo vililazimika kuimarisha ulinzi katika sehemu nyeti mbalimbali.
Kiongozi huyo kamaliza kwa kusema kwamba wao wanazingatia msemo wa Quran kwamba, "Fight those who fight you, spare those who don't fight you''
Kutoka Mogadishu ni mimi,
Professor kilaza
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
DANGANYA TOTO HIYO
ReplyDeleteKumbe quaran inawafundisha hivyo?
ReplyDeleteWanatupumbaza hawa.muda wowote wanatulipua.
ReplyDeleteLAWE WANAFUNZI MLIOWAUA KENYA WALIPINGANA NA NYINYI???
ReplyDelete