AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto amewajibu jibu jepesi kwa kusema “CHADEMA walianza bila ruzuku, waulizeni fedha za ziara zao za kuzunguka kwa helkopta nchi nzima walizitoa wapi? Kule walikopita ndiko na mimi ninakopita huku na huko” alisema huku akishangiliwa na maelfu ya wananchi jijini Mwanza katika viwanja vya Furahisha
Alifafanua kuwa fedha za chama chake wanazofanyia ziara zinatokana na michango mbalimbali ya watu wenye nia njema na chama hicho, Zitto pia aliwataka wananchi wa Mwanza kuchuja na kuchagua uzalendo. “Chujeni mtu mwenye hoja twendeni tukaijenge nchi”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK