Marafiki wamuingiza chaka Chris Brown kwa kumwambia Karrueche yupo tayari kumrudia, kilichotokea hakukiamini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chris Brown aliingizwa chaka na marafiki zake waliomwambia kuwa Karrueche Tran alikuwa na hamu kubwa ya kurudiana naye – hali ambayo ilisababisha seke seke kwenye club ya usiku waliyokutana na kumfanya Chris aonekane kama mtu anayelilia penzi la Karrueche, TMZ wameripoti.

Vyanzo vilivyo karibu na wapenzi hao wa zamani vimeiambia TMZ kuwa Chris alichukua meza kwenye club ya Playhouse, iliyokuwa karibu na meza ya Karrueche kwasababu marafiki zao walimwambia afanye hivyo.

Marafiki hao walikuwa wakimjaza Chris kuwa KT yupo tayari kuyamaliza.

Hata hivyo Chris alibaki na butwaa baada ya kumshuhudia Karrueche akiondoka kwenye club hiyo kwa hasira utadhani aliona jini.

Kuna kila dalili kuwa Chris na Karrueche hawatarudiana tena!

Angalia Video Hapa chini:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad