AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Naipenda kazi yangu na ninaiheshim sanaaaaa hii ndo sanaa ilionikuza mpaka leo na bado nakua nayo Mungu afungue heri zake lol tunajua kukomaaa ila nais Mungu ndo ameandika.
Nitatumia kipaji changu akili yangu kuwatumikia Watanzania pale palipokua apajaenda sawa nawaakikishia hiii kitu imewabeba wooooootee kiasi kwamba utatamani kumwita mama yako mnakaa mnajifunza kitu unakaa na baba yako mnaangalia sio kama movie nyingi zilizopo hukai na wazazi wako mkaangalia mana unajua wataharibu tuuuuu ila hii sio movie manaa bongo movie wamesharibu sanaa ya uigizaji tanzania," Nora ameandika.
Una maoni gani juu ya mtazamo huu wa Nora?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK