AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Sospiter Mafuru, alisema walimu wake wanafanyiwa vitendo vya ushirikina ikiwa ni pamoja na kusumbuliwa usiku na kunyolewa nywele sehemu za siri.
Alitaja vitendo vingine kuwa ni kuvuruga vyombo vya ndani wakati wa usiku, kumwaga michuzi na damu kwenye mashuka na nguo za walimu hao.
“ Vitendo hivi vimetishia usalama wa walimu hadi sasa walimu watatu wa kike wamehama shule hii kwa hiyo tunaomba jamii ya Nambaza wachukue hatua,”alisema.
Alisema awali ushirikiana huo ulianza kwa wanafunzi kuugua na kuanguka ovyo na baadaye kwa walimu na aliomba Serikali kuchukua hatua na kukaa na wananchi wao.
Mafuru alisema hadi sasa ana walimu tisa,wa kike watano na wa kiume wanne.
Mkuu wa wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, alisema tayari ameviagiza vyombo vya dola kwenda kijijini hapo kufanya utafiti kuwabaini watuhumiwa hao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK