Davido anatafutwa na askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria,sababu iko hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa Nigeria Davido anatafutwa na [Askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria ] National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA).

Chanzo cha habari kimesema video yake ya ‘Fans Mi’ aliyofanya na Meek Mil iliyotazamwa na watu zaidai ya milioni moja kwa sasa Youtube imeonyesha matendo ya ununuaji wa dawa za kulevya yasiyotakiwa kuonekana kwenye tv.

Ofisa wa NDLEA, Mitchell Ofoyeju amesema  “The agency considers the musical video, ‘Fans Mi’ inappropriate and indecent. It has the tendency to negatively influence and induce drug use and trafficking. Besides, it is counter-productive on the campaign against drug production, trafficking and abuse. The agency is also investigating the matter and will take necessary action,” .
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad