AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye podcast yake “I’ll Name This Podcast Later,” Joe Budden amemchana Meek kwa kubadilika kuwa rapper mlaini baada ya kuanzisha uhusiano na Nicki.
“Meek’s music is too hard for me to look at him with this fucking sappy fuck-shit,” alisema. “Be the hardcore guy that I’m sure she was attracted to at some point. It’s nasty. I hate everything about it.”
Meek alijibu madongo hayo kwa mfululizo wa tweets:
“And I brung joe buddens out on my sold out show in NYC….. It was a funeral when you got the mic! Stop it old hating noodle,” alitweet Meek.
I just get money…Remain trill…Stay fly & b puttin my day 1’s on … You’s type of guys can’t deal with me on no levels! Lol I’m out. Yall guys talk about other men too much..Don’t let my album do good..Ima change all dat and that and expose how lame yall dudes really are! joking but it ain’t dat boy level to b commenting on they way I handle my lady! Yall gotta have a chill button when you speaking on da trill.”
Joe alijibu tweets hizo: @MeekMill #1. I think you’ve taken some things outta context. I didn’t diss u. #2. U don’t rap well enough to go this route w me.”
Nicki naye aliamua kujibu: Why would you be bothered by another man showing love to his girl? Let’s celebrate black love. All the best w/ur podcast. All jokes aside.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK