Mwanaume Aliyezaa na SHILOLE Ajitokeza na Kudai Hakuwa Kumbaka Shilole Kama Habari zilivyoenea, Adai Shilole ni Muongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baba wa mtoto aliyezaa na Shilole amejitokeza na kulalamika kusingiziwa na msanii huyo kuhusu kumbaka..na kusisitiza alikua na uhusiano naye na amekana kumbaka.

Shilole amezungumza na Soudy Brown na kusema mwanaume huyo hajui mtoto anakula nini wala ana miaka mingapi hivyo hataki hata kumsikia kwa kuwa hilo jambo bado linamuumiza na hataki mtoto wake ajue nini kinaendelea kati yake na baba wa mtoto wake.

Pia amesema amepanga kutoa elimu kwa wanawake na wasichana ambao hufanyiwa vitendo vya unyanyasaji kutoka kwa wanaume zao.

Msikilize hapa mtu wangu…


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad